VIDEO: KOCHA YANGA AFUNGUKA HAYA MAZITO BAADA YA KUTUA AIRPORT USIKU
Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amefunguka baada ya kutua nchini akitokea nchini Ufaransa kwenye biashara zao.
”Mimi kocha Mwinyi Zahera naomba wanachama waichangie klabu iweze kusafiri kwa ndege kwenda Mbeya ili tukacheze na tupate matokeo na mimi binafsi nitaongezea kiasi kitakachopelea”, amesema Zahera.
Ikiwa Zahera anafika hadi kuomba yanga ifanyiwe mchango ili isafiri kwa ndege kwa kujuwa hakuna hela, vipi basi anashikilia usajili mpya wa wachezaji kadhaa ambao usajili huo utagharimu mamilioni mengi ya shilingi, jee zitatoka wapi?
ReplyDeleteUsajili ni kati ya majukumu makubwa ya msingi ya uongozi.
ReplyDeleteIla usafiri kwa sbb basi wanalo uongozi ungeamua tu kuipeleka timu kwa gari ila Team coach akaona siyo sawa ndiyo akahamasisha michango.
ReplyDelete