VIDEO: TAZAMA MAUFUNDI YA BOBAN AKIWA YANGA NDANI YA DAKIKA 28
Yanga SC imepata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tukuyu Stars kutoka Mbeya katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), katika mchezo uliopigwa jana kwenye Dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mafundi kutoka kwa mtu mzembe wa maisha kama Haruna Moshi. Nashngaa kuona watu au waandishi wakimpa sifa za kijinga wakati kama fundi wa ukweli alishabahatika kupata nafasi hadimu ya kuonesha ufundi wake na kutengeneza maisha yake na ya Taifa lakini akashindwa na kurudi kizembe na mwishowe akaishia mchangani na hatimae anapoteza muda wake pale Yanga.
ReplyDelete