January 26, 2019


Lile sakata la kipa wa Yanga Beno Kakolanya na Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera, bado limewakaa kichwani wanachama na mashabiki wengi wa Yanga.

Mwanachama mmoja ambaye hajataka jina lake litajwe, ameahidi kula sahani moja na Zahera endapo hatamrejesha kikosini kipa huyo.

Mwanachama huyo lialia na Yanga damu, amesema ifikir hatua Zahera atumie busara kwa mchezaji huyo ambaye anamwani ni ngome kubwa kwenye eneo la ulinzi.

Amemtaja Klaus Kindoki kuwa ni kipa anayejitahidi lakini hajafikia uwezi wa Kakolanya ambaye anaaminiwa na wengi zaidi ndani ya kikosi.

Ikumbukwe Zahera alitangaza kutokuendelea kuifundisha Yanga endapo uongozi utamrejesha Kakolanya katika kikosi cha Yanga.

Pia, Zahera aliachana na Kakolanya baada ya kugomea kusafiri na timu sababu ya madai ya fedha za mishahara na usajili. 

2 COMMENTS:

  1. KOCHA TUSIMCHANGANYE TIMU IPO VIZURI TUMEPOTEZA MECHI MOJA TU KWENYE LIGI

    ReplyDelete
  2. Yeye muache ale sahani moja na Zahera sisi tutakula sahani moja na yeye

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic