April 9, 2019


KMC Kesho watakuwa na kibarua kingine mbele ya Singida United uwanja wa Namfua huku wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wao uliopita mbele ya Mbeya City kwa kuchapwa bao 1-0.

Kmc iliyo chini ya Kocha Ettiene Ndiyaragije itacheza mchezo wake na Singida United iliyo chini ya Felix Minziro.

Minziro ametoka kumyoosha Kagera Sugar mabao 2-1 uwanja wa Namfua atamenyana na KMC aliyetoka kupoteza.

Kwa sasa KMC ipo nafasi ya 7 baada ya kucheza michezo 30 ikiwa imekusanya pointi 41 huku Singida United ikiwa nafasi ya 12 baada ya kucheza michezo 32 ina pointi 39.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic