Simba hongereni lakini wachezaji wawe na nidhamu kukosakosa nafasi huku kunaifanya mechi kuwa ngumu sana. Kuna siku nyingine timu pinzani isipopewa red card na mwamuzi asipoongeza injury time timu itakuwa na wakati mgumu sana....kwa hiyo wachezaji waambiwe hivyo...siyo kuwapa nafasi Yanga (timu ya wananchi) kuamini kwamba marefa wanaibeba Simba...wakati tunaweza kumaliza mechi mapema
Yanga nae aliongezewa dakika 9 mechi na Lipuli Iringa na akafungwa 1-0.Kr na yeye alibebwa? Kuna siku game inakataa .TIMU inayostahili kuchukua ubingwa ni timu inayoshinda mechi zake zilizobakia na kuwazidi wapinzani wake pointi.Hizo za marefa ni visingizio nä uoga wa kufeli.
Mbona kuna penalt zaidi ya moja simba kanyimwa Wamesahau mechi ya Lipuli walipewa dak 7 za nyongeza. Walifungwa mapema na wakashindwa kutumia muda huo !Kukiwa na substitition kila moja huchukua wastani wa dak moja!muda husimamishwa na kuhesabiwa!Jana substitution zote zinazoruhusiwa kutumika zilitumika. Na mpira unaposimama kama mchezaji ameumia muda husimamishwa. JKT walikuwa wanacheza rafu za kuumiza.. Na kipa wao mara ngapi aliumia?Kama aliumia kweli!Kujiumiza
Simba hongereni lakini wachezaji wawe na nidhamu kukosakosa nafasi huku kunaifanya mechi kuwa ngumu sana. Kuna siku nyingine timu pinzani isipopewa red card na mwamuzi asipoongeza injury time timu itakuwa na wakati mgumu sana....kwa hiyo wachezaji waambiwe hivyo...siyo kuwapa nafasi Yanga (timu ya wananchi) kuamini kwamba marefa wanaibeba Simba...wakati tunaweza kumaliza mechi mapema
ReplyDeleteYanga nae aliongezewa dakika 9 mechi na Lipuli Iringa na akafungwa 1-0.Kr na yeye alibebwa?
ReplyDeleteKuna siku game inakataa .TIMU inayostahili kuchukua ubingwa ni timu inayoshinda mechi zake zilizobakia na kuwazidi wapinzani wake pointi.Hizo za marefa ni visingizio nä uoga wa kufeli.
Duh,red card,dakika za bonasi duh kweli hela zinafanya maajabu duniani
ReplyDeleteMbona kuna penalt zaidi ya moja simba kanyimwa
DeleteWamesahau mechi ya Lipuli walipewa dak 7 za nyongeza. Walifungwa mapema na wakashindwa kutumia muda huo !Kukiwa na substitition kila moja huchukua wastani wa dak moja!muda husimamishwa na kuhesabiwa!Jana substitution zote zinazoruhusiwa kutumika zilitumika. Na mpira unaposimama kama mchezaji ameumia muda husimamishwa. JKT walikuwa wanacheza rafu za kuumiza.. Na kipa wao mara ngapi aliumia?Kama aliumia kweli!Kujiumiza