Ni asilimai 99 zinaonesha kabisa Ibrahim Ajibu hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga msimu ujao. Hili linathibitishwa na Ofisa Habari wa klabu hiyo, Dismas Ten kwa hiki alichoandika katika ukurasa wake wa Instagram.
Simba kimya kama wamelala hawaropokwi wala kujisifu na akija kuamka na kutamka basi katamka. Utafikiri hawana haja yakusajili. Tarzana namna nidhamu ilivo
Uhakikishe kuwa unalipwa malimbikizo yako kabla ya kuondoka otherwise utaula mkono mtupu. Wao wamekuwa wakikusifu Sana ili uondoke mikono mitupu
ReplyDeleteDismas huwa a naongea logic sana huwa anapangilia cha kuongea siyo tahiratahira!
ReplyDeleteUnaonekana umesoma Habari na unaitumia vizuri taaluma!
Dismas huwa a naongea logic sana huwa anapangilia cha kuongea siyo tahiratahira!
ReplyDeleteUnaonekana umesoma Habari na unaitumia vizuri taaluma!
Simba kimya kama wamelala hawaropokwi wala kujisifu na akija kuamka na kutamka basi katamka. Utafikiri hawana haja yakusajili. Tarzana namna nidhamu ilivo
ReplyDelete