Simba kuna haja ya kuondoa baadhi ya wachezaji wengine kwakweli viwango ni vya chini mno...Mo Ibrahim, Mzamiru, Salamba, Gyan, Zana, Rashid Juma, nk....ukiangalia cream ya wachezaji ya ushindi ni hawa....Manula, Nyoni, chama, Niyonzima, Mkude, Bocco, Kagere na Chama, kidogo....Dilunga, Mlipili, Dida na Wawa
Mpira una siku na siku sio sahihi kuwaondoa wote hao. Kwa maoni yangu, Mzamiru, Gyan, Rashid Juma bado ni wazuri wasaidiwe tu kurekebisha kasoro ndogondogo na kuongeza bidii ya kupambana. Salamba , Mo Ibrahim na Zana wameshuka sana viwango wanaweza kuachwa
Huyo Zana sasa
ReplyDeletechanel gan inaonesha game waungeana
ReplyDeletechanel gan inaonesha game waungwana
ReplyDeleteSimba kuna haja ya kuondoa baadhi ya wachezaji wengine kwakweli viwango ni vya chini mno...Mo Ibrahim, Mzamiru, Salamba, Gyan, Zana, Rashid Juma, nk....ukiangalia cream ya wachezaji ya ushindi ni hawa....Manula, Nyoni, chama, Niyonzima, Mkude, Bocco, Kagere na Chama, kidogo....Dilunga, Mlipili, Dida na Wawa
ReplyDeleteMpira una siku na siku sio sahihi kuwaondoa wote hao. Kwa maoni yangu, Mzamiru, Gyan, Rashid Juma bado ni wazuri wasaidiwe tu kurekebisha kasoro ndogondogo na kuongeza bidii ya kupambana. Salamba , Mo Ibrahim na Zana wameshuka sana viwango wanaweza kuachwa
Delete