Naona bado baadhi ya watanzania hawajaridhika na uhalali wa ubingwa aliouchukua Simba...sijui shida iko wapi? maana mimi bado sijaiona!
Shida ipo wametangaza ubingwa mapema wakiwa na mechi mbili mkononi pia watakuwa na 97 sakishinda mechi zote team chache Sana duniani zitaweza kuvunja record hiyo hivyo sisi roho mbaya Fc hatupendi.
Naona bado baadhi ya watanzania hawajaridhika na uhalali wa ubingwa aliouchukua Simba...sijui shida iko wapi? maana mimi bado sijaiona!
ReplyDeleteShida ipo wametangaza ubingwa mapema wakiwa na mechi mbili mkononi pia watakuwa na 97 sakishinda mechi zote team chache Sana duniani zitaweza kuvunja record hiyo hivyo sisi roho mbaya Fc hatupendi.
ReplyDelete