June 15, 2019


UONGOZI wa Ruvu Shooting umesema kuwa umepokea ripoti ya kocha wa Ruvu Shooting, Ablumutik Haji hivyo kwa sasa wanaifanyia kazi taratibu.

Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa makosa waliyofanya msimu uliopita hayatajirudia tena hivyo lazima wakaze msimu wa mwaka 2019/2020.

"Tulifanya makosa kidogo msimu uliopita hayo yamepita na sasa tumegundua pale tulipokwama msimu ujao hatutakwama na ripoti imetua mezani tunaifanyia kazi," amesema Bwire.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic