IMEELEZWA kuwa kwa sasa kikosi cha Simba kinafanya usajili wa kimyakimya na mpango wake mkubwa ni kufanya maboresho kwenye kikosi chao kwenye michuano ya kimataifa.
Mpaka sasa ni wachezaji wawili tu ambao wameongezewa mkataba kwenye kikosi hicho ambao ni John Bocco na Aishi Manula huku wengine mipango yao ikiwa ni ya siri.
Ripoti ya Kocha Mkuu, Patrick Aussems kwa sasa ndiyo inafanyiwa kazi ambapo imeelezwa kuwa wachezaji wenye nafasi ndogo ya kubaki ndani ya kikosi hicho ni pamoja na:-
Asante Kwasi
Zana Coulibaly
Nicholas Gyan
Juuko Murshid
Adam Salamba
Emmanuel Okwi
Okwi tunatambua kwamba alikataa kuongeza mkataba mwenyewe
ReplyDeleteAta wawa aondoka bora gian abak
ReplyDeleteBora Gyan Abaki Okwi Aendage Anakotaka U superStar Wake Umekwisha Bongo
ReplyDeletehamuelewek na habar zenu coz hazinaga uhakika bali mnaandka mawazo yenu tu
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeletena salim mbona kashaenda wap?
ReplyDelete