KERR AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI
Kocha wa zamani wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amefikwa na mama yake mzazi.
Kerr ameeleza kuwa mama yake alikuwa akiumwa kwa muda mrefu na ndicho kilichopelekea kifo chake.
Salehj] Jembe blog inatoa pole kwa Kerr pamoja na familia yake kwa ujumla.








0 COMMENTS:
Post a Comment