November 26, 2019


FRANK Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea amesema kuwa wachezaji wake wanatakiwa kupambana kila wanapocheza na timu zilizo nafasi ya juu kwenye msimamo.

Chelsea ilichapwa mabao 2-1 na Manchester City mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa Uwanja wa Etihad.


 "Kama tunahitaji kutwaa ubingwa au kufanya vizuri kwenye ligi lazima tukubali kupambana na Liverpool, Spurs, Manchester City na timu nyingine zote kubwa. 

"Wachezaji wangu wanapaswa kupambana sana kila wanapocheza na hizi timu sita za juu," amesema.

Chelsea ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi zake 26 nyuma ya pointi 11 ya Liverpool waliopo kileleni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic