December 31, 2019

7 COMMENTS:

  1. Gombaneni na huku Mnyama kinywa wazi Ana njaa anakungojeeni

    ReplyDelete
  2. Molinga nae alipanda bodaboda baada ya kubadilishwa uwanjani.Aligoma kurejea na kutokomea zake.

    ReplyDelete
  3. Nasikia eti sheikh yahya ana wafuasi kibao kazi yao no kutabiri kukicha

    ReplyDelete
  4. Alishatabiri nasikia pale mechi hiyo viongozi wa timu fulani wataanza kuvurugana kwa hofu wenyewe kwa wenyewe na haya tayari yameshajitokeza

    ReplyDelete
  5. Haya mazingira ya mitifuano na mfarakano si dalili nzuri kuelekea mechi ya Jumamosi...mashabiki wa Yanga wanavurugu kwa hiyo Nawaonea huruma Viongozi wa Yanga haya mambo yasije yakasababisha kutokea vurugu kubwa pindi timu itakapofungwa ....amani isije kutoweka si Jangwani tu bali nchi nzima....

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic