SHIZA Ramadhani
Kichuya, kiungo mshambuliaji wa Simba sasa ruksa kukipiga ndani ya Klabu hiyo.
Taarifa rasmi
iliyotolewa na Uongozi wa Simba umeeleza kuwa hatma ya Kichuya kwa sasa kucheza
ndani ya Simba ipo mikononi mwa Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck baada ya ITC yake kuwasili leo.
Simba leo inashuka Uwanja wa Taifa, saa 1:00 Usiku na itamenyana na Polisi Tanzania ya Moshi.
0 COMMENTS:
Post a Comment