Wewe agent wa yanga huwezi kuivuriga simba na magazeti yako uchwara. Gazeti gani habari zote nzuri yanga na mbaya zote simba. Fake news from bwawani fc
Utakuwa mshamba na mbumbumbu kama hutomuunga mkono Simba mwenzako Saleh ally mwenye kadi namba 001133 kwa vile ameandika habari inayowapendeza upande wa pili.Huyu ni mfanya biashara hivyo anaangalia upepo wa biashara umelala upande gani,kumbuka siku Yanga ikifungwa magazeti mengi hayanunuliwi kwasababu watu wengi wa Yanga ni wale wa hali ya chini hivyo wanajiburudisha kwa kusoma magazeti tofauti na mabwanyenye wanaotumia mitandao ya kijamii kama Simba.
Wewe agent wa yanga huwezi kuivuriga simba na magazeti yako uchwara. Gazeti gani habari zote nzuri yanga na mbaya zote simba. Fake news from bwawani fc
ReplyDeleteDawa ni wanasimba kususia hivi vijarida.Haiwezekani kila siku kuiandama Simba.Enough is Enough.
ReplyDeleteUtakuwa mshamba na mbumbumbu kama hutomuunga mkono Simba mwenzako Saleh ally mwenye kadi namba 001133 kwa vile ameandika habari inayowapendeza upande wa pili.Huyu ni mfanya biashara hivyo anaangalia upepo wa biashara umelala upande gani,kumbuka siku Yanga ikifungwa magazeti mengi hayanunuliwi kwasababu watu wengi wa Yanga ni wale wa hali ya chini hivyo wanajiburudisha kwa kusoma magazeti tofauti na mabwanyenye wanaotumia mitandao ya kijamii kama Simba.
Delete