HAWA HAPA WAAMUZI WA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO SIMBA V NAMUNGO SIMBA na Namungo FC zinatarajiwa kushuka Uwanja wa Nelson Mandela, Agosti 2 kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho hawa ndio waamuzi wa mchezo huo
Simba atashinda kwa ushindi mnono si chini ya goli 3
ReplyDeleteNani atakuwa katikati asije akawa huyo 'kona bao' kwa sababu kwa kweli aliibeba Yanga isiyobebeka
ReplyDeletewako 6 hao hata awe katikati ya dimba hana ubavu wa kufanya hujuma alizozowea.
ReplyDeleteNi yule aliye chezesha game ya simbas$Yanga?
ReplyDelete