MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Ijumaa
This comment has been removed by the author.
ReplyDeleteHiyo stori ya Rasta wa Asante Kotoko nina mashaka nayo. Huyo mchezaji alishaachana na Asante Kotoko Aprili 2020 na kujiunga na Medeama FC kwa dau kubwa. Ni baada ya timu nyingine kubwa kama Orlando Pirates kushindwa dau.
ReplyDeleteKwa mujibu wa hesabu zenu huyu atakuwa mchezaji wa hamsini wa kigeni kusajiliwa Katika kikosi chetu cha Jangwani. Inaingia akilini?
ReplyDeleteKama hela kweli ipo si bora kumsajili Mnyata ambae hapo mwanzo mliripoti tayari ameshasajiliwa
ReplyDeleteTulio nao klabuni wetu bado hamjamalizana na hapa mnajinasibu kuchukua wa bei mbaya kweli kweli
ReplyDelete