July 29, 2020



Anaandika Saleh Jembe:-Picha hii ni funzo kubwa kwetu mimi na wewe ambao bado Allah anatupa zawadi ya kuendelea kuishi.

Inaonyesha Mungu ni mkubwa yetu sote na kweli kila nafasi itaonja mauti. Maana yake hivi tuendelee kuabudu, kuamini lakini kutekeleza yaliyo.

Umeona wengi wamemlilia Rais Mkapa, yako amefanya yanayotulazimisha kuhuzunika na wakati mwingine kulia. Vizuri ukatenda yaliyo sahihi bila ya woga kama alivyofanya yeye na leo ameacha kumbukumbu.

Pamoja na yote, usisahau mkubwa wetu ameandika na kupitisha kuwa kila mmoja wetu NAFASI YAKE ITAONJA Mauti, hivyo vizuri kufanya yaliyo mema kwa usahihi.

RIP BENJAMIN WILLIAM MKAPA.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic