TUJIKUMBUSHE safari ya Namungo FC mpaka kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho ilikuwa namna hii:-
Mzunguko wa 64, Namungo FC 1-0 Green Warriors, Desemba 22, Uwanja wa Majaliwa, Lindi.
Mzunguko wa 32 bora, Namungo FC 2-1 Biashara United, Januari 26,Majaliwa Januari 26.
Mzunguko wa 16 bora, Mbeya City 1-2 Namungo FC,Februari 25, Sokoine, Mbeya.
Robo fainali, Namungo 2-0 Alliance FC, Uwanja wa Majaliwa, Juni 30.
Nusu fainali, Julai 11, Sahare All Stars 0-1 Namungo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Agosti 2 itamenyana na Simba, Uwanja wa Nelson Mandela
0 COMMENTS:
Post a Comment