August 17, 2020


MECHI ya kwanza ya watani wa jadi kati ya Yanga dhidi ya Simba inatarajiwa kuchezwa  Oktoba 18, Uwanja wa Mkapa, Dar.

Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Almas Kasongo amesema hayo leo, makao makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania ambapo kuna mkutano wa waandishi wa habari.

Leo Agosti 17, ratiba rasmi inatolewa kwa ajili ya msimu mpya unaotarajiwa kuanza Septemba 6.

7 COMMENTS:

  1. wamepeleka mbali sna ingetakiwa wafungue msimu

    ReplyDelete
  2. Yanga ina bahati sana na namba 8. Mechi ikipigwa tr. 8, 18, 28 najua kabisa anashinda. Simba tuna bahati na namba 2, tr. 2, 12 na 22. Kwa hiyo tusubiri.

    ReplyDelete
  3. Kuna watu wanapiga ramli chonganishi hapa

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic