Makipa1.Metacha Mnata
2.Farouk Shikhalo
3.Ramadhan Kabwili
Mabeki
4.Paul Godfrey
5.Kibwana Shomari ingizo jipya kutoka Mtibwa Sugar.
6.Yasin Mustafa ingizo jipya kutoka Polisi Tanzania.
7.Adeyun Saleh
8.Lamine Moro
9.Bakari Mwamnyeto ingizo jipya kutoka Coastal Union
10.Said Juma Makapu
11.Abdallah Shaibu ingizo jipya kutoka MFK ya Serbia
Viungo
12. Tonombe Mukoko ingizo jipya kutoka AS Vita.
13.Zawadi Mauya ingizo jipya kutoka Kagera Sugar.
14.Abdulaziz Makame
15.Feisal Salum
16.Haruna Niyonzima
17.Balama Mapinduzi
18.Deus Kaseke
19.Juma Mahadhi
20.Farid Mussa ingizo jipya kutoka CD Tennerife.
21.Tuisila Kisinda ingizo jipya kutoka AS Vita.
22.Benard Morisson ingizo jipya kutoka Klabu ya Yanga.
23.Carlos Carlinhos kutoka Interclub
Washambuliji
Washambuliji
24.Ditram Nchimbi
25.Adam Kiondo
26.Wazir Junior ingizo jipya kutoka Mbao FC
27.Yacouba Songne ingizo jipya kutoka Asante Kontoko.
28.Michael Sarpong
Benard Morisson ingizo jipya kutoka Yanga? Mbona sielewi? Kama katoka Yanga atakuwaje kwenye orodha ya wachezaji wa Yanga?
ReplyDeleteYanga bado akili zenu hinawaza kama mtoto mchanga benard xyo mchezaj wenu FIFA inatambua morrison mchezaj halali wa simba achen ushamba
ReplyDeleteJamani kweli Hawa viongozi wetu wa awamu hii wapo timamu.Inaonesha sasa wanataka kufanya uadui na FIFA yenye kuheshimiwa duniani kote baada yaTFF ambayo maamuzi yake hakuna anayeweza kuyachalenji duniani isipokuwa inavoonesha ni Hawa viongozi wtu peke yao. Vituko hivi ni vipya Katika historia ya soka Tanzania zaidi ya miaka 80 iliyopita na ni sisi mashabiki tue wa kweli badala ya kubururwa na kuyapigia makofi. Ikowapi heshima yetu ukilinganisha na pale uongozi wa Manji nasi tumebakia mbumbumbu hatuoni wala hatusikii na waandishi pia wako mbele kutupeleka tusipokujuwa
ReplyDeleteAcheni mapovuuuuuu
ReplyDeleteTimu ya waandishi WA habari Morrison tunaye arusha Leo anaanza ufunguzi WA ligi
ReplyDeleteNa ghadhabu yake tutaiona pale atapovaana na Gongonje waliomtesa baada kuwa saini feki
ReplyDeleteWaandishi ndo wamekosea bwana, you react without thinking
ReplyDeleteInabidi waandishi wapewe onyo kama la clouds wafungiwe maana hawachuji cha kuanfka
ReplyDeleteHiyo list ya Muandishi lkn watu wanaitolea Povu, kunawatu vichwa vyao kama kondoo, kila kitu kulalamika, dada hapo uongozi wa Yanga unaingiaje?
ReplyDeleteJambo usilo lijua nisawa na usiku wa giza.... Kama hulijui Jambo kaa kimyaaa
ReplyDelete