UONGOZI wa Klabu ya Yanga, leo Agosti 26 umesema kuwa unamtafuta kocha mwingine atakayekuwa mbadala wa Cedric Kaze raia wa Burundi ambaye alikuwa kwenye mpango wa kuja hivi karibuni.
Kaze alikuwa anatarajiwa kuja ndani ya wiki hii kuchukua mikoba ya Luc Eymael raia wa Ubelgiji ambaye alifutwa kazi rasmi Julai 27 kutokana na vitendo vya ubaguzi.
Taarifa iliyotolewa imeeelza kuwa Kaze ameomba aongezewa wiki tatu mbele ndio awasili nchini jambo lililowafanya waamue kumpata kocha mwingine kupitia barua ambazo zilitumwa na makocha kuhitaji kazi ndani ya Yanga.
Taarifa ipo hivi:-
Kafukuzwa kabla ya kufika
ReplyDeleteSimba mmetia mkono kweli Yanga tuna kazi
ReplyDeleteTutampata mwengine mwenye kiwango kuzidi Seveni. Hawatuwezi
ReplyDeleteKaona Yanga haina kiwango au sifa ya kuwa yeye ni kocha wao
ReplyDeleteHabari za kufurahisha leo timu yetu Yanga imeibambika African Sports timu ya daraja la pili mabao 2 kwa 1 ambapo wachezaji wapya wote isipokuwa mmoja walishiriki
ReplyDeleteMwambusi wa nini? Kocha msaidizi angekuwa Said Maulid, ameshafanya mambo makubwa Yanga na viongozi wanajua. Angemsaidia pia Corlinhos kwa sababu anaongea kireno vizuri tu.
ReplyDeleteKweli Bro. Mwambusi ameshafeli kwenye timu nyingi tu.
DeleteTaratibu mtani,usije sema tunanunua marefa
ReplyDeleteKawaida yenu, mwaka huu ndo kabisa na mababu zenu akina Onyango msipofanya hivo mtashika nafasi ya 4.
DeleteMikia mwaka huu Mmeweka record ya kusajiri mchezaji wa miaka 40.
DeleteKocha alisngalia mpira wa Simba na vitalo akaona pale utopolo atashisha cv
ReplyDelete