PICHA YA PAMOJA WACHEZAJI WA YANGA WAKIWA WAMETUPIA SUTI MUONEKANO wa wachezaji wa Yanga wakiwa wametupia suti inaelezwa kuwa kesho Kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi watatupia namna hii.
suti katila raba za kukimbilia...Gongowazi bwana :-d :-d
ReplyDeleteWacha ushamba kama ujui kuvaa wewe uliza watu wanavyo vaa suti,
ReplyDeleteacha umbumbumbu msemo wa Eymael..
Deletewewe uliona wapi watu smart wanavaaa suti za rangi ya bluu na raba za gym nyeupe...
basi onyesheni ulofa kamili na stahiki kwa kuvaa suti za kijani na kandambili za njano au hata vice versa ni poa tuu!
Wewe ni mbumbubu tuu
DeleteGongowazi wamependeza kwa suti nyeusi na viatu vyeupe. Wazitunze vizuri. Wazitunze ikiwa baada ya miaka pindi wskiuonja ubingwa waweze kuzivaa tena
ReplyDeleteWewe unavyo?
DeleteKweli hawa kandambili suti na raba wangevaa za manjano ndio rangi yao
ReplyDeleteMaisha yanaendelea
ReplyDeleteHakka kesho tunajambo letu
ReplyDeleteAcheni jicho jamaani
ReplyDeleteUtopolo mshakuwa manesi, mnavaa raba, acheni ushamba suti hazivaliwi na raba na isitoshe mmeitelekeza na rangi yenu ya team au mmeazima?
ReplyDeleteSuti? Halafu viatu bila Sisi!
ReplyDeleteMikia aka mbumbumbu fc acheni kukariri.. Kwan wapi iliandikwa kwamba suti haiwezi valiwa na raba??? Hakika Rage aliwajua na kuwaita mbumbumbuuuuuuuj
ReplyDeleteMikia wanaona wivu vijana wa GSM walivyo pendeza.Ukijani na unjano ni uwanjani ndipo Nazi itafanyika
ReplyDeleteNamsikitikia Mwanyeto sana sijui nani aliyempoteza njia
ReplyDeleteMtaumia saana mikia make huu na huyo mwarabu wenu was nguruka
ReplyDelete