September 6, 2020


 IBRAHIM Ame, beki mpya ndani ya kikosi cha Simba hatma yake ya kuwavaa Ihefu leo ipo mikononi mwa Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck kwa kuwa alikuwa anasumbuliwa na majeraha.

Leo Septemba 6, Simba ambao ni mabingwa watetezi watarusha kete yao ya kwanza, Uwanja wa Sokoine dhidi ya Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.

Akizungumza na Spoti Xtra, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara alisema kuwa maendeleo ya Ame yapo vizuri kwa kuwa tayari alishaanza mazoezi na wachezaji wenzanke.

“Ame kwa sasa anaendelea vizuri na tayari alishaanza kufanya mazoezi na wachezaji wenzake. Alikuwa na majeraha aliyoyapata kwenye mchezo dhidi ya AFC Arusha ila kwa sasa yupo vizuri maamuzi ya kocha tu yanasubiriwa kuanza kwenye mechi za ushindani,” alisema.

 

1 COMMENTS:

  1. *‘Staying or going!’ - Kagere's cryptic message leaves Simba SC fans guessing*

    By DENNIS MABUKA

    The former K'Ogalo striker has left fans asking questions after a message on his Twitter handle ahead of the new season. Rwandan striker Meddie Kagere has left Simba SC fans guessing on his future after a message he posted on his social media pages.

    The former Gor Mahia striker, who has won two Golden Boot awards since he signed for the Wekundu wa Msimbazi from the Kenyan Premier League (KPL) champions, has delivered a message which has left the fans divided and not sure what the future of the player holds at the club.

    “Was such a great season with great achievements for the club Simba SC, the technical team and players,” Kagere wrote on his Twitter handle. “Thanks to Haji Manara and the Simba fans for the respect and trust u always have for me. Hoping for the best 2020-2021.”

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic