LEO Oktoba 31 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi ambapo mechi nne zitachezwa kwa timu nane kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.
Tanzania Prisons v Polisi Tanzania, Uwanja wa Nelson Mandela, saa 8:00 mchana
Namungo FC v Dodoma Jiji, Uwanja wa Majaliwa, saa 10:00 jioni.
Biashara United v Yanga, Uwanja wa Karume, saa 10:00 jioni.
Simba v Mwadui,saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru.
M i k i a fc na leo mnapigwa kimoja Tu kama kawaida yenu
ReplyDeleteAcha zako wewe
ReplyDeleteMwandishi nae fyatu yanga hatuchezi leo 2nacheza tareh 1 mwezi wa 11 mwaka 2020 saa 10:00 jion uwanja wa karume
ReplyDeleteMechi ya Biashara na Yanga Ni leo hii
DeleteWw Jackson unamatatzo,,yanga anacheza leo
ReplyDeleteIkiwa hakuna jinsi furahi tu kakini sio vyema kuchekana ligi ni safari refu kwa kasi ya azam ulitegemea kinachoendelea sasa
ReplyDeleteBaadaye wataanza kulalama Simba anabebwa. Tumewazoea Utopolo. Ligi ni marathon sio sprint.
ReplyDelete