December 24, 2020


SASA ni rasmi kuwa Klabu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze imetinga hatua ya nne bila kuingia ndani ya uwanja kusaka ushindi ndani ya dakika 90.

Yanga ilipaswa kuchezwa na Klabu ya Singida United ambayo ilikuwa inashiriki Ligi Daraja la Kwanza, Desemba 26 kutokana na timu hiyo kushushwa madaraja mawili sambamba na matokeo yake kufutwa mchezo huo hautachezwa.


Adhabu hiyo kwa Singida United imetokana na timu hiyo kushindwa kutokea uwanjani kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza dhidi ya Alliance FC.


Taarifa rasmi iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) leo Desemba 24 imesema:"Kufuatia Klabu ya Singida United kushushwa madaraja mawili, mchezo wa Azam Sports Federation (ASFC) namba 65 kati ya Young Africans v Singida United uliokua uchezwe Jumamosi Desemba 26, 2020 hautakuwepo,.


"Hivyo Young Africans sasa wanasubiri kucheza raundi ya nne 2021," .

10 COMMENTS:

  1. Mbeleko inawapeleka utopolo mbele,utakuta nayo yanga kama singida huko mbeleni utasikia"YANGA YADODA FA" yaani unabebwa hubebeki

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani yanga ndio waliwaambia singida isiingie uwanjani?,kachekiwe akili muhimbili hospital

      Delete
    2. Badala ya kufuatilia matokeo miliardi sc huko Zimbabwe unaanza kufuatilia time zisizokuhusu

      Delete
    3. naona una povu la Perfect Chikweze toka Harare Zim mtakomaa mwaka huu si mna kelele mikia nyie

      Delete
    4. Weeh fala kweli!!!!.......sasa yanga hiyo mbeleko kabebwa na nani?,tff,singida au?.mikia mna tabu kweli,badala ya kufuatilia na kusikitika kwa matokeo uliyokutana nayo zimbabwe unafuatilia mambo yasiyokuhusu

      Delete
    5. Waliopanga ratiba wanaipa Yanga fursa ya kusonha mbele? Kwa nini wasiwapangie timu nyingine? Usawa hapa hakuna hasa kwa timu changa

      Delete
  2. We mwandishi msenge sana mteremko gani sasa apo na simba vs majimaji sio mteremko? Azam vs magereza sio mteremko? Uwe unajielewa bc wakati mwingine

    ReplyDelete
  3. Mwandishi nae ni kuma kabisa, sasa mtelemko gani? Kwahiyo singida angeifunga YANGA

    ReplyDelete
  4. Singida na Yanga walishacheza kabla yanga haijacheza na Dodoma jiji; na yanga alishinda, sasa tatizo hapo liko wapi. Yanga kasonga mbele kihalali kabisa, aliyajua haya ndo mana akacheza kabla ha ha ha haaaa

    ReplyDelete
  5. Tatizo kunawatu wanamatatizo ya kufikiria, Singida FC imeshushwa na Bodi ya league, Sasa hapo Yanga inakosa gani? Kwann wasilaumiwe hao walioishusha na kutoa Povu kwa Yanga.
    Uhalisia hata wasingeshuka Wangepigwa tu, hawana uwezo wa kumfunga Yanga.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic