February 3, 2021

 


BAADA ya kikosi cha Simba kutinga makao makuu ya nchi, Dodoma kimepata nafasi ya kuingia ndani ya Bunge la Tanzania. 

Hawa ni baadhi ya wachezaji ambao wameweza kuingia bungeni leo Februari 3.

Miongoni mwa wachezaji waliopo bungeni ni pamoja na Gadiel Michael, Ibrahim Ajibu,Said Ndemla,Shomari Kapombe,Clatous Chama,Mohamed Hussein. 

Kenedy Juma, Hassan Dilunga, Ibrahim Ame,Beno Kakolanya, Aishi Manula, Pascal Wawa,Mzamiru Yassini, Luis Miquissone.

Benchi la ufundi ni pamoja na Kocha Mkuu, Didier Gomes kocha msaidizi, Seleman Matola.

Mratibu wa Simba Abbas Seleman,Ofisa Habari wa Simba Haji Manara. 

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic