LEO Februari 18, Uwanja wa Karume, Mara kutakuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Simba.
Biashara United inayonolewa na Kocha Mkuu, Francis Baraza kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza ilikubali kichapo cha mabao 4-0.
Kwa mujibu wa Spoti Xtra, Alhamisi hiki hapa Kikosi cha Biashara United kinachotarajiwa kuanza:-
:-James Cleo
Deric Mussa
Mpapi Nasibu
Lenny Kissu
Abdulmajid Mangalo
Baraka William
Ally Kombo
Ramadhan Chombo
Deogratius Judika
Christian Zigah
Tariq Seif
Tunakitaka cha Simba
ReplyDeleteTariq seif tena. Mh makubwaa
ReplyDeleteTariq Seif yuko polisi tz
ReplyDelete