Kikosi cha Mtibwa Sugar kinachotarajiwa kuanza leo Februari 20 dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkaba:-
Mshery Abuutwalib
Hassan Kessy
Martin Kigi
Dickson Daud
Issa Rashid
Haruna Chanongo
Awadh Juma
Baraja Majogoro
George Makang'a
Riphat Msuya
Ibrahim Hilika
Mtibwa ni timu inayoundwa na wazawa ni cheo kikubwa ila wanashindwa kujitambua.Kama kuna siku timu kama mtibwa,jkt,prison,polisi zitachukua ubingwa mbele ya simba,azam au Yanga basi na kiwango chetu cha taifa kitapanda pia.Wachezaji wa Yanga na mtibwa pia wasisahau kuwa wanacheza leo mbele ya warabu wamekuja na maskauti wao lolote linaweza kutokea kwa mchezaji kutoka.
ReplyDelete