KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu, Tanzania, (TFF) imemfungia miaka mitano Makamu Mwenyekii wa Klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela kujishughulisha na masuala ya mpira wa miguu ndani na nje ya nchi.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na TFF leo Aprili 2 imeeleza kuwa kamati imemkuta na hatia ya kutoa maneno ya uchochezi kwa Wanachama na mashabiki kuhusu vyombo vinavyosimamia mpira.
Taarifa hiyo ipo hivi:-
Dawa ya uchochezi na kusema uongo.Alidai ana mkataba wa Simba na Morisson. Alipoambiwa autoe akashindwa. Pia madai ya Yanga kuhujumiwa alishindwa kuthibitisha.Dawa ya ujings huu ni kumfungia.Ajifunze na kujiuliza kwanini viongozi wengine wa Yanga wanamtuma yeye tu kwa kila jambo lenye utata?Mbona kwenye maendeleo na usajili hatumwi?Akili ya kushikiwa.
ReplyDeleteAliambiwa autoe mtaani si mpaka kuitishwe shauri rasmi kiofisi?
DeleteHAYO ULIZA WEWE! TFF HAWANA HUO WA MUDA TENA
DeleteYanga wamemchuuza ili awapishe. Kwisha habari yake
ReplyDeleteukisikia kumtosa ndiyo uko.
ReplyDeletesafi kabisa akamfikirie morrisoni akilini na moyoni kwake...haruhusiwi kuongea
ReplyDeleteAna makosa yake...ila ila adhabu nayo ni kLi mno!
ReplyDeleteAna makosa yake...ila ila adhabu nayo ni kLi mno!
ReplyDeleteKunya anye kuku akinya bata mchafu!!
ReplyDeleteMimi yanga bora ametoka nae hakuwa na mchango kwanza toka, kila wakati anafikiri utumbo badala ya kufikiri maendeleo ya timu
ReplyDeleteInyeshe ili tujue panapovuja....Mama SSH kuna wengine wengi "wa kuwasaidia" huku TFF...
ReplyDeleteMahakama ya simba, fisi ndiye hakimu
ReplyDeleteMama ndiye aliyemtuma azushe na kusema uongo?Wacheni kumhusisha mama na ujinga.Mwacheni ajenge Nchi.
ReplyDeleteAlifeli akiwa kiongozi tff + kafeli tena akiwa kiongozi utopolo = mwakalebela niwakufelifeli tu.
ReplyDeleteHayo ni matokeo ya pale ubabe unapopindukia mipaka. Ikiwa kiongozi ni wa namna hiyo, nini unararaji kwa wafuasi na ndipo inapokuja ile piga, chania nguo, zomea, lalamikia kila kitu na mengi mengineo
ReplyDeleteSHERIA HIZO ZILIKUWEPO SIKU NYINGI SANA, HAKUNA LA AJABU, NA HAKUNA AMBAYE HAJUI MWAKALEBELA AMEFANYA NINI. ACHA AADHIBIWE TU......VIPI BUMBULI NAE KARUDI TENA?
ReplyDeleteMnanikumbusha kwamba usibishane na mtu mwenye 800Kg
ReplyDeleteTatizo Tff ni Simba ndo maana viongozi wa yanga WANAFUNGIWA Sana mwaka huu kwani ya imewakosea Nini Tff jamani
ReplyDeleteTatizo Tff ni Simba ndo maana viongozi wa yanga WANAFUNGIWA Sana mwaka huu kwani ya imewakosea Nini Tff jamani
ReplyDeleteMwaka huu tutakoma wanayanga maana Tff siwaelewi kabisa
ReplyDelete