April 4, 2021

 



Dakika 90 zimekamilika Uwanja wa Mkapa
Namungo FC imepoteza mchezo wa Kombe la Shirikisho,  Uwanja wa Mkapa.
Zimeongezwa dakika 3
Dakika ya 90 Nkana wanaanua majalo na kupeleka Namungo 
Dakika 85 Nahimana anapeleka mashambulizi Nkana
Dakika ya 79 Nzigamasabo anapaisha 
Dakika ya 72, Stive Nzigamasabo anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 69 Nkana Goal Chikwekwe
Dakika ya 60, Miza anaingia Jaffary anatoka
Dakika ya 59, Nahimana anapewa huduma ya Kwanza baada ya kuchezewa faulo na Stephen Chulu ambaye anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 57 Magingi Frank anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 53, Mwinde anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18 
Dakika ya 50 Nkana FC wanaotea
Dakika ya 45 Kikoti anakosa nafasi ya wazi 
Kipindi cha pili 

KOMBE la Shirikisho,  Kundi D

Uwanja wa Mkapa

Namungo FC 0-0 Nkana FC

Mapumziko 

Zinaongezwa dakika 2

Dakika ya 45 Sabilo anakosa nafasi ya wazi kwa kupiga kichwa  kinakwenda nje ya lango

Dakika ya 42 Duah anapeleka mashambulizi Nkana FC 

Dakika ya 36, Tangalo Fred anaingia anatoka Nyenye

Dakika ya 34 Nyenye anacheza faulo nje kidogo ya 18 linaokolewa na Nahimana 

Dakika ya 33 Kichuya anafanya jaribio linakwenda nje ya lango

Dakika ya 29 wanapata faulo ndani ya 18

Dakika ya 20 mabeki wa Namungo FC wanamsindikiza mshambuliaji wa Nkana FC anapiga shuti linakwenda nje ya lango 

Dakika ya 15 Shamte anapeleka mashambulizi Nkana inakuwa ni kona inapigwa na Shiza Kichuya ni kona fupi

Dakika ya 12, Sabilo anaotea

Dakika ya 7 Hamis Nyenye wa Namungo anaonyeshwa kadi ya kwanza ya njano kwenye mchezo wa leo

Dakika ya 5 Stephen Sey wa Namungo anakosa nafasi ya wazi akiwa na mlinda mlango

Dakika ya 2 Nahimana anaokoa hatari langoni mwake

Baada ya vuta nikuvute kati ya  Nkana FC na Mwamuzi wa mchezo wa leo hatimaye wamekubaliana kuanza mchezo ulitarajiwa kuanza saa 10:00 ila umeanza saa 11:00


Kulikuwa na dakika moja ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli 

7 COMMENTS:

  1. Namungo sasa kwa heri, ajaribu mwakani

    ReplyDelete
  2. Namungo walisafiria nyota ya corona kuingia kwrnye makundi hawakukutana upinzani mkali huko mwanzo

    ReplyDelete
  3. Namungo walisafiria nyota ya corona kuingia kwrnye makundi hawakukutana upinzani mkali huko mwanzo

    ReplyDelete
  4. Wakati utopolo wanasema SIMBA amesafiria nyota Corona, ila Namungo yeye alikua anapambana dah hawa jamaa hawajielewi hata kidogo ila mwakan tunawabeba hivyo hivyo, ijapokua wanaongea sana.

    ReplyDelete
  5. Halafu mnalalamika ooh simba inawachezaji wengi wa kigeni inaua soka letu ooh blahblah kibao.hao namungo asilimia kubwa ni wazawa angalia wanavyocheza unaona kabisa hawajaiva kwa mashindano makubwa mpira ni biashara kubwa acheni wenye pesa wafanye yao kupitia mpira waingize pesa

    ReplyDelete
  6. Wakiambulia hata point moja wakatambike

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic