April 30, 2021


FT: Tanzania Prisons 0-1 Yanga

Kikosi cha Yanga kinatinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Prisons 
Zimeongezwa dakika 2
Dakika 90 zimekamilika
Dakika ya 88 Deus Kaseke anaingia anatoka Nchimbi
Dakika 84 nyota wa Yanga Ninja anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 79 Wazir Junior anaingia anatoka Fiston 
Dakika ya 78 Lamine anapewa huduma ya kwanza
 Dakika ya 72, Lamine anacheza faulo ndani ya 18 kwa Jeremia, mwamuzi anapeta
Dakika ya 70 Yanga wanapeleka mashambulizi Prisons 
Dakika ya 66, Asukile anafaya jaribio linaokolewa na Metacha 
Dakika ya 64, Makapu anaingia anatoka Carinhos 
Dakika ya 64, Kimenya na Mohamed Mkopi wanaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 61 Carinhos anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 60 Prisons wanapata kona, Lambart Sabiyankana anatoka anaingia Seleman 
Dakika ya 53 Goooooal Yacouba Songne 
Dakika ya 49, Fiston anachezewa faulo 
Dakika ya 48 Ntibanzokiza anapiga faulo inaokolewa
Dakika ya 46 Yacouba anajaza majalo yanakwenda nje
Kipindi cha pili 
UWANJA wa Nelson Mandela 

Mapumziko 

Kombe la Shirikisho 

Tanzania Prisons 0-0 Yanga

Zinaongezwa dakika 2

Dakika ya 45 Carinhos anapiga faulo inaokolewa na Prisons

Dakika ya 43, Lamine anaanza na Mnata

Dakika ya 41, Mauya anafanya jaribio linakwenda nje ya 18

Dakika ya 40 Lamine anaanua majalo

Dakika ya 39, Prisons wanapata kona, Michael Ismail wa Prisons anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 37 Jeremia Juma anapokwa mpira, Nchimbi anapokwa mpira na Vedastus

Dakika ya 36 Fiston anafanya jaribio linaokolewa

Dakika ya 33 Asukile anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Nchimbi

Dakika ya 32 Kimenya anafanya jaribio linakwenda nje ya 18

Dakika ya 30 Carinhos anapiga kona inapanguliwa na Jeremiah 

Dakika ya 22 Nchimbi anachezewa faulo nje kidogo ya 18, Yacouba anapiga kichwa mpira wa juu unakwenda nje ya 18

Dakika ya 21 Prisons wanafanya jaribio linaokolewa na Mnata

Dakika ya 20, Jeremiah Ally anafanya jaribio linaokolewa na Metacha Mnata

Dakika ya 19, Carinhos amepiga faulo inakutana na kichwa cha Ninja inakwenda nje ya 18

Dakika ya 17 Carinhos anapeleka mbele majalo yanaokolewa 

Dakika ya 15 Adeyum anafanya jaribio nje ya 18 linakwenda nje ya lango 

Dakika ya 13 Benjamin Asukile anapeleka mashambulizi Yanga,  Yacouba anaotea.


Dakika ya 12 Yacouba Songne anafanya jaribio akiwa nje ya 18 halizai matunda.

Dakika ya 9 Prisons wanafanya jaribio linakwenda nje ya lango.

21 COMMENTS:

  1. Safi sana wananchi mikia wameshindwa kabisa kuwafunga prison

    ReplyDelete
  2. Mnyama anakuja mjiandae

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mikia aka nyau mweusi atatobolewa

      Delete
    2. Manyani yamebebwa leo, ndo maana kimataifa hayafurukuti... Mei 8 yataaibija sana

      Delete
  3. Refa kapeta penati ya wazi kbs

    ReplyDelete
  4. Ndo muda wenu kushangilia maana kilio kinakuja mbeleni.... Mtapoteana mpaka mtajuta

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hapa kilichobaki ni muda....
      Muwe na subla....wale salaam

      Delete
  5. Mbona kuna malalamiko kibao prison wamenyongwa na refa pamoja na muamala umepenyezwa? TFF anzieni hapo

    ReplyDelete
  6. simba na yanga ni timu za nchi, ni timu za wananchi,pia ni kubalance furaha "remember Simba vs Mbao" Dodoma, ASFC

    ReplyDelete
  7. Hapa kuna ushahidi wa mchezaji wa prison akihojiwa kasema kulikuwa na ushawishi wa milion 40, sasa tunyamaze? Na mwenendo wa refa haukuwa sawa

    ReplyDelete
  8. Malalaniko haya badilishi matikeo, bora kukaa kimya na kujipaga kwa michezo inayao wahusu

    ReplyDelete
  9. Wache washeherekee kabla ya kuangusha kuliko tarehe nane ambacho huenda kikatokana Morrison

    ReplyDelete
  10. ni dhahiri shahiri Tanzania Prison walinyimwa penalti..sasa kwa matokeo ya goli moja ni wazi ni wamesonga mbele kwa upendeleo wa mwamuzi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Lazim mseme..coz simba na wajeda wapi wapi

      Delete
  11. Tarehe nane watatumia vibaya sana

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic