UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekanusha taarifa ambazo zilikuwa zikienea Kwenye mitandao ya kijamii kwamba imeandaa maandamano.
Taarifa rasmi ambayo imetolewa na Yanga kupitia Ukurasa rasmi wa Istagram imewaomba Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa Yanga kupuuzia taarifa hiyo na kuwataka kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho uongozi unaendelea kufanya jitihada za kushughulikia masuala yote yanayohusu Klabu kwa misingi na taratibu zilizowekwa kisheria.
Taarifa hiyo ambayo ilikuwa inasambaa leo Aprili 6 ilikuwa inaelezwa namna hii:-
Uzushi huu kwa faida ya nani. Wadai tujikite kuendeleza soka sio kutengeneza mafekile, hayasaidii nchi yetu kisoka
ReplyDeleteMatamko yasiyokwisha kila kukisha
ReplyDeleteKuna mjinga aliandika hii barua wakamruka.
ReplyDeleteIfike muda tuache ujinga unaandamana ili iweje watu tunataka timu zicheze mpira mnafeli wap uto chezeni mpira wa kweli acheni kutapatapa
ReplyDeleteUto hawaishiwi vituko
DeleteUto hawaishiwi vituko
DeleteMpira wa bongo umekuwa ni wa kisiasa propaganda nyingiii ina wezekena hiyo iliandaliwa na upande wa pili ili kuivuruga tu Yanga ninaimani hakuna maandamano na tuacha Yanga iendeleee.
ReplyDelete