HIZI hapa zilizotinga hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation Cup
Biashara United, ulishinda mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC, Uwanja wa Karume, Mara.
Yanga, ulishinda mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC, Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.
Azam FC ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Rhino Rangers, Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.
Simba, ilishinda mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji, Uwaja wa Mkapa.
Ngoma itachezwa namna hii
Azam FC v Simba, Songea, Uwanja wa Majimaji.
Yanga v Biashara United, Tabora, Uwanja wa Ali Hassan.








Nusu fainali ni Lini? Au naa nyie pia hamjui... Jitahidini kutafuta habari la sivyo mnakuwa hamna tofauti na wasomaji au wanaweza kuwazidi kbs
ReplyDeleteWaandishi wa bongo lazima mtuachie maswali wasomaji.
ReplyDelete