May 31, 2021

MC Mboneke mzee wa irudiwe, irudiwe kutoka Mbeya anasema kuwa yeye maisha yake yote ya elimu na kukua ilikuwa ni Mbeya akiwa na elimu ya kidato cha sita. 

Kupitia kile ambacho amesoma amesema kuwa matokeo ambayo anayapata kupitia elimu yake ni fani yake ambayo anaifanya kwa sasa na aliamua kuja kwa mtindo huo ili kuwa tofauti. 

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic