EMANUEL Okwi, mshambuliaji wa zamani wa kikosi cha Simba anatajwa kurejea tena ndani ya kikosi hicho msimu ujao kwa ajili ya kutumikia timu yake ya zamani
Simba tuache usajili wa siasa,we need to focus on the recommendation of coach,ukiangalia kikosi Cha Simba Sasa hivi hatuna haja na mawinga Wala washambuliaji kwani ukiangalia Mugalu,Bocco na Kagere wapo vizuri mno.Mimi nikiambiwa nisajili now,nitasajili kipa wa kiwango Cha Juu,kwani Manula anafungwa magoli ya kijinga, Tshabalala naye anahitaji msaidizi kwani match ya South wote tuliona, vilevile Wawa apatiwe mbadala kwani pumzi ishakata ila kiwango kipo.Huo ndiyo ushauri wangu Wana Msimbazi wenzangu ila Okwi hatumtaki hata kidogo kwani umri ushamtupa mkono
Hiyu hana jipya kwa simba hii. Kama amekosa timu bora arudi kampala astaafu soka. Anajitafutia mahali tuu pa kujipatia pension simba wasihangaike nae
ReplyDeleteOkwi ana shamba lake pale msimbzi mwache akavune msimu wake labda ndi utakuwa wa mwisho.Timu zetu kubwa hizi ni shamba la bibi
DeleteSisi tunampenda sana Okwi aje tu hata kama vp ataendelea kutusaidia
DeleteTetesi tu hizo.Hana uwexo wa kupata namba Simba pamoja na kuteuliwa kuwa nahodha wa Uganda Cranes,timu ya Taifa ya Uganda.
ReplyDeleteUmri umesogea
ReplyDeleteSimba tuache usajili wa siasa,we need to focus on the recommendation of coach,ukiangalia kikosi Cha Simba Sasa hivi hatuna haja na mawinga Wala washambuliaji kwani ukiangalia Mugalu,Bocco na Kagere wapo vizuri mno.Mimi nikiambiwa nisajili now,nitasajili kipa wa kiwango Cha Juu,kwani Manula anafungwa magoli ya kijinga, Tshabalala naye anahitaji msaidizi kwani match ya South wote tuliona, vilevile Wawa apatiwe mbadala kwani pumzi ishakata ila kiwango kipo.Huo ndiyo ushauri wangu Wana Msimbazi wenzangu ila Okwi hatumtaki hata kidogo kwani umri ushamtupa mkono
ReplyDeleteOkwi aje bado hatujaweza kuziba pengo lake, washambuliaji wetu wote wanasubiri kutengenezewa mipira pia wanakosa utulivu wakiwa karibu na goli la adui
ReplyDelete