VIDEO: YANGA KUSUKA UPYA KIKOSI CHAKE, KUNA BEKI MBENINI PIA AINGIA ANGA ZAO
IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kusuka kikosi chake upya ikiwa ni pamoja na safu ya ushambuliaji, kwa sasa inaelezwa kuwa kuna mshambuliaji ambaye anacheza ndani ya Kaizer Chiefs, Kambole huenda akasajiliwa na Yanga msimu ujao. Pia inasaka beki ambaye atakuwa mbadala wa nahodha Lamine Moro
Hata Fiston na Sarpong mlijigamba hivyo hivyo waleteni tu hao magarasa
ReplyDeleteNdio zawadi mnayopewa baada ya kuwasaidia kaizer chiefs
ReplyDeleteHe he he ndio malipo ya utumwa wa kusaidia mbinu na mapokezi wakati walipokuja kucheza na simba
ReplyDeleteHivi Chikwende anafanya nini pale kwa Gomez na Simba yake au ndio yaleyale ya Striker Mnaigeria na mlinzi MZIMBABWE
ReplyDeleteDah... nyie waandishi ndio mnaturudisha nyuma yanga. Maana mara utasikia mchezaji ac vita aingia rada zao mara mbenin mara nani mara nini. Mwisho wa siku sisi kwa kufatilia mihemko yenu waandishi tunajikuta na wachezaji hovyo. ACHENI MIHEMKO MNATUPOTEZA
ReplyDeleteHata Ronaldo akitua Yanga atapoteza ustaa wake kwa hivo ndio wanaondoka kwa Baraka waimalizike
ReplyDelete