MWENYEKITI wa zamani wa Klabu ya Simba, Swedi Mkwabi leo Juni 8 ametinga makau makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kuchukua fomu ya kugombea urais wa TFF.
Mkwabi amekwenda kuchukua fomu hiyo kwa niaba ya mgombea Wallace Karia ambaye yeye ndiye mgombea wa nafasi hiyo.
Karia yupo madarakani kwa sasa katika ngazi ya Urais hivyo anahitaji kutetea nafasi yake kwa wakati mwingine tena.
Zoezi la utoaji fomu limeanza leo ambapo zinatolewa makao makuu ya TFF, Karume na fomu zinapatikana kupitia tovuti ya TFF.
Mwisho wa kuchukua fomu na kurejesha ni saa 10:00 Juni 12 mwaka huu.
Hii inamaanisha nini? Kwani Karia mwenyewe yuko wapi hadi achukuliwe form?
ReplyDeleteInamaanisha upendo
DeleteTena alomchukulia ni ALIYEKUWA MWENYEKITI WA KLAB YA SIMBA. MAANA YAKE NINI HAPO, NDO UJUE AMEKUWA ANAWAFANYIA MAZURI NDO MAANA
DeleteMuendelezo wa yale yote
ReplyDeleteKwanini means Simba ndo ameenda kumchukulia fom
ReplyDeleteUlitaka aende Utopolo au nani ili usihoji
DeleteVibaraka tu hawa.....
ReplyDeleteNkwabi...simba
Ntahilaja...yanga
Hawa wanajitufanya sote mbumbumbu ili tudhani yanga na simba wanamsapoti mme wao Karia.
Wenye akili tunajua.
Hahahahhahhahaha ALIYEKUWA MWENYEKITI WA SIMBA TENA?????
ReplyDelete