July 20, 2021

5 COMMENTS:

  1. Simba mwenda kimya kimya hula nyama nyingi. Kila siku kelele tumesajori jembe hili mara tumevuta hili mwisho dirisha linafungwa. Tujifunze njia ya Azam.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani umesikia kiongozi yoyote katamka hapo.watanzania jifunzeni kutofautisha tetesi za usajili na uhalisia.ilo ni gazeti na utashi wake wameandika hakuna kiongozi wa yanga wala Simba aliyetamka hapo.

      Delete
    2. Kama ni gazet kwanini kila siku yanga?tumia akili brother,tambua kwamba yanga wanatumia media vibaya kuwahadaa shabiki wake,na huu upofu hautokaa uishe kwasababu ndani ya media kuna mashushu ya timu ya wananchi,yanga ina mpaka wahariri wa magazeti ingawa magazeti sio yao ila wanayahariri wao,usicheze na yanga wewe ndiomana ikaitwa timu ya wananchi a.k.a UTO.myself sioni sababu yakuendelea kupiga kelele acha tusubiri muda utaongea.

      Delete
  2. Jiulize waliwezaje kupata saini ya BM3 nakubadili mkataba mpaka wakaweza kumpa mkataba feki?jiulize tena ile ishu ya usajili ya mchezaji wa azam ambae pia walishafoji barua na mkataba wa awali iliishia wapi?THIS IS YANGA BROTHER TIMU YA WANANCHI

    ReplyDelete
  3. Timu ya matapeli ndio unajivinia vitendo vya kihuni?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic