Yupo,MTANI a.k.a wananchi,tena wanaweza kupanda farasi wawili na wasipasuke msamba,yanga kiboko bwana husikii wameshaanza kupiga ndiru eti hakuna lolote hapo ni ubabaishaji pesa za simba hizo tulizopata caf na mauzo ya jezi pamoja na matangazo yote yenye nembo ya simba.
Je na zile pesa zilizotumika CAF kawasajili wachezaji bora zaidi kutokea Afrika kama vile Luis na Chama nani alitoa? Nani alilipa usafiri, kambi na mishahara? Kama ni mauzo ya jezi mbona timu zote za ligi kuu
Hakuna wa kumuwiga tenbo kumeza boga jumla jumla
ReplyDeleteYupo,MTANI a.k.a wananchi,tena wanaweza kupanda farasi wawili na wasipasuke msamba,yanga kiboko bwana husikii wameshaanza kupiga ndiru eti hakuna lolote hapo ni ubabaishaji pesa za simba hizo tulizopata caf na mauzo ya jezi pamoja na matangazo yote yenye nembo ya simba.
ReplyDeleteJe na zile pesa zilizotumika CAF kawasajili wachezaji bora zaidi kutokea Afrika kama vile Luis na Chama nani alitoa? Nani alilipa usafiri, kambi na mishahara? Kama ni mauzo ya jezi mbona timu zote za ligi kuu
Delete