July 21, 2021


 MAZUNGUMZO kati ya PSG na wawakilishi wa Paul Pogba yanaendelea na makubaliano yapo katika hatua nzuri. Pogba kwa sasa kipaumbele chake ni kujiunga na Paris Saint-Germain.

 

Klabu hiyo bado inatafuta kuimarisha nafasi ya kiungo licha ya kunasa saini ya Wijnaldum kutoka Liverpool. PSG inatazamia wachezaji wawili ambao wamebakiza mkataba wa mwaka mmoja katika vilabu vyao, mpango A Pogba (28) na mpango B Camavinga (18).

 

Endepo dili la Pogba litashindikana PSG watahamia mpango B ambao ni Camavinga. Na ikumbukwe Manchester United wanamtaka Eduardo Camavinga kama mrithi wa Paul Pogba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic