VIDEO: SHABIKI WA YANGA KUIBUKIA KIGOMA KWA BAISKELI, RATIBA YAKE HII HAPA
SHABIKI wa Yanga ameamua kutumia usafiri wa baiskel kuelekea Kigoma ili kushuhudia mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Simba v Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika Julai 25.
Utopolo kweli hamnazo, simba anafanya janja janja kivipi wakati hata CAF wanamtambua uwezo wake hadi kapanda viwango hadi jamba 13 in Africa ilihali yanga hajulikani hata ndani ya best timu 100 za Africa? Inahitaji kujitoa ufahamu kwa kiwango cha juu sana kuwaamini wasemacho viongozi na mashabiki wa utopolo, duh!
ReplyDeleteWala hatushangai, timu nzima imewekeza kwenye ujinga na propaganda za kipuuzi bila uhalisia.
ReplyDelete