FT: Yanga 1-1 Nyassa Big Bullets
Dk 90:5 Godfrey anaokoa hatari ya Big Bullets
Kwangala anakwenda nje anaingia kipa Godfrey
Dakika ya 90 Kabwili anaonyeshwa kadi nyekundu baada ya mwamuzi kutafsri amemchezea faulo mchezaji wa Nyasa Big Bullets
Dakika ya 87 Job anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 84 Paul anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo nyota wa Big Bullets aliyekuwa anakwenda kuonana na Kabwili
Dk 81 Paul anafanyiwa faulo inaokolewa na kipa
Dk ya 73 Mashoto wa Yanga anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 70 Ukonge anafanya jaribio linaokolewa na kipa
Dakika ya 67 Kabwili anaokoa hatari
Dk ya 60 Kajoka anaingia anatoka Msowoya
Dk 56 Said Kwangala anaingia kuchukua nafasi ya Adeyum Saleh
Dk 46 Adeyum anaonyeshwa kadi ya njano
Kipindi cha pili kimeanza
Huu ni mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Kagame, Uwanja wa Mkapa, Agosti Mosi.
Mabingwa watetezi ni KCCA ya Uganda.
KOMBE la Kagame
Uwanja wa Mkapa
Kipindi cha kwanza
Yanga 1-1Nyasa Big Bullets
Mpira ni Mapumziko
Dakika 1 imeongezwa
Dakika ya 42 Paul Godfrey anaporwa mpira na Babatunde
Dakika ya 39 Babatunde anachezewa faulo nje kidogo ya 18 mwamuzi anapeta
Dakika ya 38 Ukonde anamtengenezea nafasi Juma Mahadhi anakosa
Dakika ya 37, Adeyum anarudisha nyuma kwa Job kisha kazi inapelekwa mbele mazima
Dakika ya 35 Ninja anapokwa mpira na Babatunde
Dakika ya 30 , Chiukepo anafunga penalti
Dakika ya 28 Ninja anamchezea faulo Babatunde inakuwa penalti
Dakika ya 27 Chimwemwe wa Big Bullets anapeleka mashambulizi Yanga
Dakika ya 25 Ukonde anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dakika ya 22 Mkandawile anachezewa faulo na Ambundo
Dakika ya 21 pacha wa Konde Boys anafanyiwa faulo
Dakika ya 20 Kabwili anaokoa majalo ya vijana wa Big Bullets
Dakika ya 19 Kahemela wa Yanga anacheza faulo
Dakika ya 18 Job anaanua majalo
Dakika ya 11 Kabwili anaokoa hatari
Dakika ya 7 Ambundo anatoa pasi kwa Wazir Junior,Goooal
Dakika ya 3 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Nyasa
Ninja sio mchezaji anaweza kusababisha tukakosa ubingwa angetolewa tu,kwani hakuna mbadala?
ReplyDeleteOk siyo mchezaji na Kwanini anacheza Mpira
ReplyDeleteUnaangalia mpira au unaongea tu?
DeleteAu inakuuma kuona karudi
ReplyDeleteKama unaangalia haina haja yakubishana,usipoteze energy wakati kuna kazi zakufanya.
ReplyDeleteHuyu Ninja wa Kiembesamaki anachojua ni kurusha mateke na kucheza chogo chemba tu
ReplyDeleteMsimu uliopita wakati anasajiliwa niliandika humu kuwa ni kupoteza nafasi tu
Sema wewe broo.
DeleteWananchi hoi mapema. Yaleyale ya Simba kuanza kupiga baada ya kuelemewa. Mnatuaibisha mapema. Ndio kikosi cha mskombe hicho. Mnatuvunja moyo
ReplyDeleteHao wamechanganyika na hawajakaa pamoja muda wa kutosha. Yaani watu ambao hawajui mpira ndio wenye midomo
DeleteKwanin unatumia facts nyepesi sana kutetea ujinga?ina maana sote hatujaona mpira aliocheza yanga au maana yako ni ipi?kwahyo ikiwa hamjakaa pamoja ndio kadi nyingi zitoke kwenu,na nyekundu juu?mnacheza faulu zi
Deleteza kipumnavu alafu unaongea ujinga hapo,hujaona kwamba mlikua mpigwe au?kwa mtindo huu mtasubiri sana,ila endeleeni kutamba nakujisifu wakati uwanjani hamna kitu.
Dah yanga yangu,sasa hiki ndio nini jamani?kadi zote za yanga,faulu zote za yanga kwanini?
ReplyDeleteYanga wasipojirekebisha na huu mchezo wao wa kukamia na kucheza faulo zisizo na tija wataadhirika huko mbeleni; na hasa katika mashindano ya kimataifa
ReplyDeleteMzee Mpili, mbona hukufanya vyako kunusuru mabingwa watarajiwa?
ReplyDeleteWalianza kuchoka dakika ishirini za mwanzo. Ndio mtaiweza Al Ahli kwa mtindo huo?
ReplyDeleteIlikuwa wanuukwe si chini ya msgoli matatu
ReplyDeleteFaulu 15 kwa moja,kadi za njano kibao na nyekundu juu,poleni kwakubebwa na hongereni kwa matokeo hayo,maana hayo ndiyo matokeo yenu.
ReplyDeleteUtopolo endeleeni kujipanga Bado uwezo wenu niwakutambaa tu Bado hamjaanza utembea baadae kukimbia
ReplyDeleteHakuna timu ya soka hapo ni judo
ReplyDeletesasa hivi wamekutana na marefa wa kimataifa sio marefa wetu takataka ambao wakiona penati wanapeta pia wakiona faulu wanaogopa kutoa kadi.
ReplyDeleteShida humu wengi mmebarehe Kwahiyo Ni kupoteza muda na akili ku argue nanyi,Ile Ni almost Yanga B Sasa hata chizi anaweza kukujibu,hii Ni Kama pre seoson wale Wachezaji wengi wamecheza Fainali under 20,shida mkiona jezi ya Yanga mnashika Kolodani pasiwepo na positive results,kwa taarifa yenu hata Yanga ya Wanawake nayo ingecheza kifupi tumejipanga
ReplyDeleteNa ninyi mngeweka Timu yenu ya Ilanfya mkione Cha Moto
ReplyDeleteNa huyo NINJA mnamwogopa mlijua angeachwa, bahati yenu hata Kigoma alikuwa Mgonjwa
ReplyDelete