RASMI Fiston Mayele ni mali ya Yanga ambapo ametambulishwa leo Agosti Mosi kwa mashabiki.
Mshambuliaji huyo raia wa Congo aliwasili Bongo jana na amemalizana na mabosi hao wa Yanga.
Rekodi zinaonyesha kuwa msimu wa 2020/21 akiwa AS Vita alitupia mabao 13 na pasi nne za mabao amesaini dili la miaka miwili.
Amekabidhiwa jezi namba 9 ambayo ataitumia msimu ujao wa 2021/22 Jangwani.
Hongeren sana
ReplyDeleteJembe letu namanyele hilo hapo rasmi, sasa mtatukoma
ReplyDeletekazi iendelee
ReplyDeleteJembe hilo walitaka wasitake ndilo litaloleta ubingwa wa nyumbani na kombe lilimshinda Simba
ReplyDeleteMapinduzi cup lazima lije tena
Delete