VIDEO: NYOTA MPYA WA YANGA ATINGA UWANJA WA MKAPA
FISTON Mayele leo Agosti Mosi baada ya kutambulishwa ameshuhudia mchezo wa ufunguzi kati ya Yanga ambayo ni timu yake mpya dhidi ya Big Bullets na dk 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-1 Big Bullets.
Katuwa ns kuona udhaifu wa timu yake
ReplyDeleteKivp
ReplyDeleteJembe letu namanyele limeshawasili
ReplyDeleteKavunjika moyo kwa kiwango alichokiona huku akishuhudia mastaa wa timu yake mpya wakirusha mateke baada ya kuonesha uchofu na wakitimuliwa kwa kadi nyekundu
ReplyDelete