Nje ya lango la kuingia lile kuu pale uwanjani kulikuwa na ulinzi wa kutosha huku askari wakiwa kazini na walikuwa na varangati la kimtindo na baadhi ya mashabiki ambao walikuwa wanahitaji kuingia.
Mchezo wa leo haukuruhusu mashabiki kutokana na kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
0 COMMENTS:
Post a Comment