September 15, 2021


AMRI Kiemba nyota wa zamani wa kikosi cha Simba ambaye pia amecheza ndani ya kikosi cha Azam FC, Ruvu Shooting ameweka wazi kuwa amekuwa akiwashauri wachezaji wengi ili watakapostaafu soka waweze kuendelea kumudu gharama za maisha. 

Kiemba ameweka wazi kuwa huwa anaumia pale ambapo anaona mchezaji mwenye uwezo wa kutengeneza mkwanja kuanzia milioni 5 mpaka 10 anapoanza kupata tabu pale atakapostaafu soka.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic