September 13, 2021

MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting ameweka wazi kuwa kuna umuhimu wa Simba kuweka siku maalumu kwa ajili ya kumuenzi Hanspope ambaye ametangulia mbele za haki na alikuwa ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba. 

Ameweka wazi kuwa kuvaa barakoa ya Simba ni nidhamu kwake kwa kuwa alikuwa na barakoa yake. Suala la kukaribishwa kwenye upande wa viongozi wa Simba ni heshima kwake kutokana na kuwa ni mtu wa kawaida.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic