October 1, 2021


HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa mtu ambaye atamtaja mchezaji mwenye uwezo kama Bangala atakuwa anampa milioni moja kila siku kwa kuwa anaamini ni moja ya wachezaji wazuri.

 Pia Manara ameweka wazi kuwa moja ya timu ambayo imefungwa mara nyingi na mabao mengi na Yanga ni watani zao wa jadi Simba ikiwa imefungwa zaidi ya mabao milioni.

 

 

7 COMMENTS:

  1. Huyu jamaa alistahili kuwa kwenye kundi la akina Masanja Mkandamizaji "Ze Comedy"

    ReplyDelete
  2. Huyu yuko hatua za mwisho kabisa za kupata uchizi. Mabao milioni? Hii simba itamuua huyu bwege, kila kukicha simba, hiyo mimba ya simba atazaa lini?

    ReplyDelete
  3. Huyu ni mwendawazimu mtarajiwa. Inaonekana Simba inamnyima sana usingizi

    ReplyDelete
  4. Naamini kutokana na alivo hayuko sawa na hakuna haja ya kujibiwa

    ReplyDelete
  5. Alipokuwa akiwasema Yanga hamkusema mnavyomsema sasa. Haji ni yuleyule domo ni lilelile na kukera ni vilevile. Jipangeni tu atawakera sana huyu

    ReplyDelete
  6. Kile kipigo cha sita bila,tano bila na nne naona hakikukutosha mropokaji.fanya kazi yanga, ila tunajua ilipo furaha yako.punguza njaa

    ReplyDelete
  7. Habari za Lowasa na CCM naziona ndani ya Manara na Simba

    Manara Apambania ugali 😁😁 msimwamini sana

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic