October 8, 2021




MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wameendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana ambapo kwa sasa zimesalia siku tisa kabla ya mchezo huo kuchezwa na Simba itaanzia ugenini Oktoba 17.

 Nyota wa Simba ikiwa ni pamoja na Jonas Mkude, Bernard Morrison, Henock Inonga, Ibrahim Ajibu katika mazoezi yaliyofanyika Uwanja wa Boko walikuwa na kazi ya kuwatesa makipa Beno Kakolanya, Ally Salim ambao walikuwa kwenye lango kwa kutunguliwa mabao. 

 Mbabe wao alikuwa ni Mkude ambaye mashuti yake makali yalikuwa yakiwapoteza makipa hao wa Simba.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic